KUMBUKUMBU ZA MUTANO MKUU WA KIYOA
Wajumbe wakipata chakula cha mchana kabla ya kuingia awamu ya pili ya kumalizia Mkutano Mkuu wa KIYOA.
Pichani juu ni wajumbe wakimalizia kupata chakula cha mchana.
UCHAGUZI WA UONGOZI MPYA WA KIYOA KWA MWAKA 2013
Pichani chini ni Ndg. Gerald Msuya (kushoto) ambaye alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kusimamia uchaguzi wa viongozi wapya wa KIYOA. Kulia kwake ni msaidizi wake dada Judy Isomba akimsaidia kuhesabu kura.
Katika uchaguzi huo Ndg. Humphrey Msulwa alichaguliwa kuwa Mwenyekiti; Ndg. Godfrey Minguzi amekuwa Mwenyekiti Msaidizi; Nafasi ya Katibu imechukuliwa na Ndg. Shuma Mafuwe; Ndg. Jimmy Mayunga amekuwa Katibu Msaidizi. Mwisho, nafasi ya Mhasibu (Mweka Hazina) imechukuliwa na Ndg. Ghati Francis Changarawe.
MKUTANO MKUU WA KIYOA WA MWAKA 2012 WAMALIZIKA
No comments:
Post a Comment