Umoja; Upendo; na Mshikamano ni moja ya mambo muhimu katika jamii. Pichani (juu na chini) ni baadhi ya Wana-Kiyoa wakiwa msibani wakiwafariji wafiwa.
|
KIYOA PROFILE / IFAHAMU KIYOA
- KIGAMBONI YOUTH ASSOCIATION
- P.O. Box 36109, Tungi, Kigamboni, Dar es salaam, Tanzania
- KAULI MBIU:- Umoja; Upendo na Maendeleo
Friday, December 7, 2012
Thursday, December 6, 2012
KIGAMBONI YOUTH ASSOCIATION
(KIYOA)
Pichani ni dada Sarah Thomas pamoja na Dada Itika Seme Vijana wa Kigamboni Youth Association wakimenya Viazi wakati wa shughuli za Kijamii. |
Subscribe to:
Comments (Atom)