KIYOA PROFILE / IFAHAMU KIYOA

P.O. Box 36109, Tungi, Kigamboni, Dar es salaam, Tanzania
KAULI MBIU:- Umoja; Upendo na Maendeleo

Thursday, December 6, 2012


KIGAMBONI YOUTH ASSOCIATION
(KIYOA)

 

Kigamboni Youth Association (KIYOA) ni kikundi cha vijana kinachojishirikisha na kuwaunganisha vijana pamoja katika shughuli mbalimbali za kiuchumi na Kijamii, Unapotokea katikati ya Jiji la Dar es salaam inakubidi uvuke bahari ya Hindi ili ufike  Ofisi za KIYOA ambazo zipo katika eneo la Tungi, Kigamboni Dar es salaam 







Pichani ni dada Sarah Thomas pamoja na Dada Itika Seme Vijana wa Kigamboni Youth Association wakimenya Viazi wakati wa shughuli za Kijamii.

No comments:

Post a Comment